May 18, 2011

WHAT TO WEAR TO A JOB INTERVIEW!

What to wear to a job interview hili swali watu wengi huwa wanajiuliza!personality inamatter sana kwenye interview ya kutafuta kazi ,haijalishi ni kazi ya aina gani? ila muonekano wako unakufanya uonekane wewe ni mtu wa namna gani!na unamuhimu gani kwenye hiyo sehemu kabla hata ujapata interview yenyewe.kunauwezekano  ukapewa kazi kwa sababu ya muonekano wako nadhifu.

             
Ukavaa pencil skirt yako nyeusi,shart jeupe na koti jeusi kwa juu ,viatu nadhifu bila kusahau nywele ziwe simple sio kama za occasion,makeup za kiofisi usijirembe sana mpaka wakakushangaa watu wenyewe.mavazi haya yatakufanya ujisikie comfortable na free kwa interview yako.

BAADHI YA MAVAZI HAYAITAJIKI KWENYE INTERVIEW
1:Suruali inakubana sana mwili wako.
2:Kimini kinachokufanya kukuacha uwazi mwili wako
3:Top ya kuacha tumbo wazi na kiuno.
4Nguo yoyote unayohisi inakufanya usiwe comfortable

No comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...