Showing posts with label TONITE BBQ. Show all posts
Showing posts with label TONITE BBQ. Show all posts

Feb 2, 2012

BBQ TO NITE IS THE BEST PLACE IN DAR FOR BBQ

BBQ TO NITE ipo mikocheni nnje ya jengo la May fair.
hapa bwana wanamishikaki noumer kuanzia beef,samaki na kuku
wanaserve na chips,na vyakula vingene vya kihindi hindi.
mpishi ndio huyo alishatuzoea  mana kila jioni ndio kijiwe , wanafugua saa moja hadi saa 5 usiku ikifika mida ya Run way Lounge unapitia pale  ni karibu na shopperz plaza unakulaa then unenda kuruka nyoka.
ni yam yam one plate anauza elf 6 ila utamu wake unasahu kam ni gharama.
hii siku nilicheka hubby aliorder saani moja ,mara ya pili mie  na mpishitupo hoi
kumbe utamu ulimzidi akajitetea wanaweka portion Ndogo
after kushiba pose zikaanza
wana lunch buffet nayo ni yam yam kwa bei ya hapo juu
wala huTAJIJUTIA.


Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...