Mar 14, 2012

GET A LOOK - BABY BLUE IVY


BLUE IVY KESHA ANZA SWAGG KAKIWA KADOGO ,TUTAMKOMJE NA SILVER FLAT SHOEZ

MAMA NA MWANA FULL SWAGG 

21 comments:

Anonymous said...

wewe mbona uwezi kumbeba mwanao kama alivyo fanya B. huna pesa wewe.hukutumwa kuzaa kama huna mshiko.

Anonymous said...

huyu nae amekosa kweli la kuongea wivu.com tafuna pilipili mezea pepsi ukojoe ukalale

Mdau Norway said...

beyonce miguu hiyomamma,mama b asante kwa mziki naenjoy balaaa jalux oyeeeee

MSEMA KWELI said...

HUYO NAE ATUPISHE BWANA AENDE KUKWAPUA NGUO ZA WASWEDI HUKO MADUKANI KAMA KAWAIDA YAKE KAKOSA LA KUONGEA ALAFU BISHA KAMA SIO KWELI NA WATU WAMEKUSHTUKIA JIJI HILI NIMEANDIKA MAANDISHI MAKUBWA KIMSISISITIZO ZAIDI

JALUX'S FASHIONS said...

hahah kunawatu nawanyima amani kweli jiji hili mana wakilala wakiamka wanawaza nikamtukanaje muke ya murundi kweny viblog mshenzi mimi ndio mimi bana unishushi wa unipandishi kwa vimaneno vyako pole mana umelose peace of mind ndio mana unahaha angalia usijekufa na presha ya moyo wivu.ugonjwa mbaya.

JALUX'S FASHIONS said...

mama brandon achana nae huyo chizi maisha yanampelekesha anatamani awe wewe ila uwezo hana ataishia kukwapua nguo madukani na kukwapua waume za watu hakuwezi tena bora anyamaze juzi juzi nililiona msibani wala sikujisumbua kulisalimia watu wamelichokaje wanalisema jiji zima yani jizi si nguo wala waume.za watu .

Anonymous said...

mmmh haya mapya sasa darlive kahamia kweny ukibaka makubwa haya ndio mana juz kati msibani watu walikuwa wanaongea ila sikujua wanamwongelea nani jamani jamani mwanamke na wizi haviendani khaaa wachanikafute wazee mavi mie

Anonymous said...

mama brandon kwa nini unabishana na mpumbavu huyo hawezi.ishi bila chokochoko ndio mana kila kona yupo yeye kujua maisha ya watu.yanendaje na kuuliza nani kagombana na nani.apate peleka fitna adi wanaume.washamjua mpuuzeni ajione mjinga

Anonymous said...

olaaaaaaa napita tu.naona kumekucha

Anonymous said...

kali ya mwaka du hii sasa soo

Anonymous said...

ngoja nikatafute kopo la kukojolea narudi jamani.

Anonymous said...

mama blandoni upo juu tujuze kumbe wezi madukani hata misibani pia wanawaongelea msiba wa nani huo jamani kila kona wapo duuu dongo na mmbea akosekani popote utamjua tu marafiki wengi kanuni ya mmbea wajaruo juuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu

Anonymous said...

jamani tuwe makini sweden tumeingiliwa mana sikuizi hata wauza mkaa wanazichanga wakuja ulaya ndomana majungu fitina aziishi choyo sio vizuri ujumbe mkorogo umepitwa na wakati

Anonymous said...

limemfikia maana kutwa anandika hachokiiii c mpaaaaaaaaaa,mwache 2 atayaoga maji uwanja mdogo atatuliza boli mwenyewe.

JALUX'S FASHIONS said...

my dear wala sijui nani kafa na msiba wapi umbea unajileta wenyewe humu .mie makund makundi.sinaga yakufatana kama wanyama porini basi.napitwa na mengi

naogopa taja jina mana ushoga atauvunja na umbea nitaupata wapi maa yeye ndio metro said...

uwiiii mbona mambo leo raia mmeamua kumtolea uvivu kamata mwiziiiii mennnnnn

muke ya noel said...

hahhahahahhah jamni mbona mambo mama b mwaka huu mdogo wangu naona umeamkia kwako .potezeee mna mtu anahasira sana .ila vicomment vyake akituma viweke ili umchoreshe .hahahhahah .ni moja wapo ya kumbadilisha mtu tabia mdogo mdogo .kupitia hapa.wasalimie familia yako wte .tumewamisije.

kokusimah said...

Wabongo utatujua tu du! I mean utawajua. Nasemapo kidogo tu wajameni manake wahaya hatujui Kiswahili ntaliaje nikija chambwa mie!

Anonymous said...

hahaha hapo na wew mdomo utakuwa umeuweka wapi ngaiza

muke.ya murundi said...

missing u too muke ya noel.mbona mie ananikubali si ndio mana anakosa amani anaishia kujiandikisha kweny mablog mafanikio hayaji bila kujituma sasa ajitume nae sio ugolikipa na matusi haya mjengi bali yanamboa fikra

Anonymous said...

wivu utakuua.nyau a.ka. pusi..we mwanao yuko wapi? Huna lolote mbona huo mbembeo unapatikana hata kariakoo. mshamba we

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...