Jul 18, 2011

DIDA AFUNGA TOA KWA AWAMU YA PILI

Hatimae mwanadada Dida afunga pingu za maisha kwa awamu ya pili,binafsi kanifurahisha na mungu amuongoze na ndoa yake mana alisimangwa sana na magazeti ya udaku.

                                                 
Alipendeza mwenyewe na gauni pembeni akiwa na shost wake Sauda Mwilima.


        
HUYU NDIO MMEWE

                                                              

                                    
mashost walipokuwa saloon wakipambwa kabla ya ndoa.

          
Sauda sikuizi amefunguka kwenye swala na makeup amekuwa anapaka vizuri na kupendeza hongera mama kwa kukubali ukweli wa maneno ya watu na ukalifanyia kazi ni wachache wenye moyo huo .
                                                                                   
                                            

3 comments:

Anonymous said...

alipendeza sana,mungu amsaidie aishi vizuri na mumewe mpya.

Anonymous said...

shoga usanii anauweza shuti kichwa chini yani zile za kimwali kbs kumbe ndoa ya pili. hongera zake lakini mana wengine hata iyo ndoa moja hawana

Anonymous said...

Mme nae mkorongo si balaaa watapishana kwenye dresstable kwa foleni

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...