Feb 2, 2012

BBQ TO NITE IS THE BEST PLACE IN DAR FOR BBQ

BBQ TO NITE ipo mikocheni nnje ya jengo la May fair.
hapa bwana wanamishikaki noumer kuanzia beef,samaki na kuku
wanaserve na chips,na vyakula vingene vya kihindi hindi.
mpishi ndio huyo alishatuzoea  mana kila jioni ndio kijiwe , wanafugua saa moja hadi saa 5 usiku ikifika mida ya Run way Lounge unapitia pale  ni karibu na shopperz plaza unakulaa then unenda kuruka nyoka.
ni yam yam one plate anauza elf 6 ila utamu wake unasahu kam ni gharama.
hii siku nilicheka hubby aliorder saani moja ,mara ya pili mie  na mpishitupo hoi
kumbe utamu ulimzidi akajitetea wanaweka portion Ndogo
after kushiba pose zikaanza
wana lunch buffet nayo ni yam yam kwa bei ya hapo juu
wala huTAJIJUTIA.


8 comments:

Anonymous said...

Shoga kazi unayo una tangaza fashion we mwenyewe ukiwa kichekesho pole eeeheee!ooooiiiiiiiiiiiiiii.

mdau norway said...

Kwa raha zako anaegombwa atumezake ajipige nae aweke hawakupendi humu wanatafuta nini kama si umbea si wangeishia kwenye blog nyingine wew hapo juu utanung'unika mnoo ila jabari ndio hiyo.jalux oyeee

Anonymous said...

We unaekerekwa saga chupa unywe hii ndio style yake

Anonymous said...

hahhahahhahah.mbona mambo ebu tuma picha yako hapo tukuone nani kichekesho mchekoooo mama loshi.

Anonymous said...

mbona kapendeza jamaniii...

clara said...

just simple an like the all look.

Anonymous said...

maana wa2 midomo mwaaaa....

WARDA SINZA said...

warda .watu hawalalai ila mi napenda mnafanya mambo yenu kimya kimya ujumbe tu untufikia tulipo sio kama malimbukeni kila kitu watatangaza mwisho wasiku wivu .napenda life style yenu mnawavuta kuja uko bado wana wivu mungu awbariki .namkumbuka nancy sikuzote shule anasema mbya wako .muonyeshe upendo anazidi kuuumia..nakushangaa huyu mtu anaroho ya namna gani .msalimie san .jamani mambo ya gerezani kitaaa.mmpendeza wte mpo juu .

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...