Sep 7, 2012

MAPENZI HAYAFICHIKI RIHANNA Vs CHRISS BROWN @MTV MVA AWARD'S

Woow nimefurahi utasema niliachwa mimi sasa nikarudiwa! jamani wawili wakipendana
waacheni tu hamwezi kuwatenganisha daima,mfano hai kama mimi na my burundi ata mpelekee habari gani juu ya mkewe atawaona wajinga tuu bora mtulie nahizo habari zenu na waume zenu.

chris brown n rihanna
 Chriss anakamatia kabisa hataki mpoteza Riri lol
 wajameni mkamate mmeo au mpenzio hata kama gumegume limemkalia kooni.Ugomvi ni chachu ya mapenzi sio sababu ya kuachana!Mwanamke jua kupigania penzi lako kama Riri.
Hope watarudiana na kuelewana wanaonekana walimissiana lol
 
 sipati picha karrueche atakavyokuwa amenuna badaa ya bwana wake kumkiss Riri 
              
 

9 comments:

Anonymous said...

Tetetete @siujua mapenzi .yanaandikagwa.ikifika .mda unaweza.kuachwa.bdae .ukarudiwa .ilishapagwa .#@kazi pale kama ulichelewa kujipanga.alivyokuja uko kawko ka bi mdogo.sikuzte .tu chake .utaishi .Mambo.nyama.inamwenyewe .wabarikiee warudiane .

asha said...

Tetetete inatufundishsa.sana .wanawake .tusijidanganye .cha mtu mavi .anamlala dada wa tu.akili .yte kwa riri .@ napita tu.

salama mtoto wa kigoma said...

HahahahahH @wakuache miaka 800.muke wa murundi.watajibeba.joluo ngangali .tugawane ustsrabu.mjini.skonga.tenà .

Anonymous said...

usijali mrembo wewe ndio wake wa moyoni walikuwa wapi kuwahisha izo habari kabla hajakuweka ndani kwa sasa ni late sana go girl luv kuzin

kokusimah said...

Mh! Dunia inamambo

JALUX'S FASHIONS said...

thanks norah

JALUX'S FASHIONS said...

ngaiza unalijua leo hilo!dunia imejazwa na mengi

Anonymous said...

Hahahs ya chini ya kapeti bwana .......... Heka heka! Mnaota mchana?

Anonymous said...

Wewe unaota .usiku .wangapi wanaota .unampya .¡

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...