Sep 18, 2011

SATURDAY NIGHT OUT IN STOCKHOLM

W-end hii niliamu kwenda outing baada ya mda mrefu ,nilihave fun na hubby safari yetu ilianzia cinema mana nilikuwa na hamu ya kuona movie ya Zoe saldana inatwa Colombiana ni mpya imetoka mwezi huu.

nje ya Cinema tukingoja kuingia

Colombia bila pop corn isingenoga kabisa

baada ya 1hr na 48mins movie ikaisha ilikuwa nzuri sana. Zoe kwenye hii movie amemfunika ata angelina Jolie kwa uigizaji,it was the best movie ever itafute nawe uenjoy.
Movie imekwisha ikabidi tuhamie kijiwe kingine

tulihamia club

entre

nilifurahi ili gown kunitosha nilinunua  lilikuwa halinienei kwa unene.

tulipoingia chakwanza counter

Tulijaaje Dj alikuwa wa ukweli
mumy b dancing dirty sexy

mapose sikwishi kushika nywele nilizipendaje.
mawazo yakaanza baby brandon sijui kesha lalah!
high heels zinakufanya sexy ila chamoto unakiona maumivu ya miguu lazima ukae chini upumue kwanza.
moi n hubby Alain
siku yetu ikaishia hapa tukaanza safari ya kurudi home nikalala masaa4 then nikamkia kazi kweli starehe gharama!
                                                                                                                                                                                                                                                                                       

21 comments:

Anonymous said...

That's was huge dress jully

Anonymous said...

Ullipendeza sana apart from that mapozi yanajirudia .nywele nzuri kakusuka nani turushie namb ya msusi pls

Pendo

Anonymous said...

Hiyo colombiana na mie niliona ninzuri sana yani ukilinganisha na ile wanted ya angelina hapa zoe upo juu kamvunika mbaya mrs britt

Anonymous said...

Sexy mama mie hizo kucha na rangi yake ukamatch na gauni ulipendezaje upo juuu
uuu

Anonymous said...

Msema kweli

Mie naona kawaida tu hakupendeza wala nini

Anonymous said...

yani ktk nguo zote unazo vaa nikakuona yani kidogo kidogo ni hii lkn bado sana bint ktk kuvaa yani sijui unaonyesha fashion ya nini ikiwa wewe mwenyewe kuvaa hujui jamani.

mamaloshi said...

mamaloshie by kigamboni mji mdogo.tetettetettet naona ulipendeza mashalaa umepungua vizuri .kazi kweli kweli kweli na mumeo kapungua sana hongera zenu my sis salam kwa mama mchungaji na lazaro na wengine wte.miss u hahahhah tusasonyaje naona wengine wameshaanza kukunanga .du

Anonymous said...

ha ha ha wivu ungesema tu kawaida na sio hajapendeza, mie kwangu kapendeza ila hubby kavaa tofauti kbsaaaaaaaaaaaaaaaa na wife km hawapo pamoja

Anonymous said...

Tetete kila kiumbe kinafashion yake bana hii ndi yake jully hajakuomba uicopy na kupaste dada mbona utajibeba mwaka huu.

Anonymous said...

Hubby naona kapungua unene

JALUX'S FASHIONS said...

Mamaloch sie wazima.jacky ajambo tumekumisije hahaha kunabinadamu wameubwa kukosoa watu ndio kazi iliyowaleta duniani kwa hiyo usijali wananipa go ahead mana na grab TENSION zao.mumy bulando pendecha balaaa

Anonymous said...

mpenzigauni lako designer ni nani? au ndio Mark jarcob tetet pendeza veve

Anonymous said...

ukitaka koment nyingi lazima ujichetue kwa blog yako duh!!!!!! cku zote watu hawakoment na wakido basi 2 au 3 leo mpk 12 duh kisa nini???????? wanaponda

Anonymous said...

fashionista....hahahahahahahahahahaha kaaaaazi kweli kweli.....

Anonymous said...

tettette walambishe walambishe washamba washamba hao wataishia kuguna tuuuuuuuuuu wamezoea H£M za kr 30 tea mpaka rea chezea wewe

Anonymous said...

kappa limetoka bubbery
gauni- maschiano.
kiatu-louboutin
clutch-MK
rangi ya kucha-OPI
unyunyu-oscar de la renta
nywele -ebony
humo ndani ndo wala usitake kupaona-ni victoria secret latest collection.chezeaaaaa......mtasonya sana!!!!!

Anonymous said...

appa limetoka bubbery
gauni- maschiano.
kiatu-louboutin
clutch-MK
rangi ya kucha-OPI
unyunyu-oscar de la renta
nywele -ebony
humo ndani ndo wala usitake kupaona-ni victoria secret latest collection.chezeaaaaa......mtasonya sana!!!!!

Mmmmh kunawengine atamvae designers bado mnakuwa kichefu chefu kama ndio mmeshuka jana ubungo mana nywele kama walimu wa primary,na ivyo no makeup basi ni balaaa kaoooogeee tu mtuachie wengine hizi ndio fan zetu urembo kujifunzia ulaya wapi na wapi UTAISOMA KIMYA KIMYA UTANUNAJE

Anonymous said...

POINT OF CORRECTION SIO BUBBERY NI BURBBERY

Anonymous said...

acheni wivu wajinga nyie
kwanza dada wa watu mzuri,ana jicho,shepu na mguu pili amependeza
nyie ndo wale wabeba box,hamna cha kufanya kazi kushinda kwenye mablog na kukosoa wenzenu
mumy losh sikujui hunijui ila wewe ni mzuri na umependeza

Anonymous said...

Asanten mdau hapo juu

Mumy losh

Anonymous said...

Nyoooooooooko uvae Loubotin unauwezp gani malaya mchafu wewe??????????? Anaevaa Loubotin sweden hii tunamjua nahatumtji shenzi zakooo

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...