Feb 28, 2011

WHO WORE IT BEST- KHATI DRESS

                                                    109041052
                                                                           TONI
                                                     
                                                
                                                                          NANCY

13 comments:

Anonymous said...

Nancy FIERCE

Anonymous said...

i luv tony dress its more sexy

pam algeria said...

all are huge but my point is going to nancy coz the dress is not 2short,i luv it

Anonymous said...

cjaelewa km ni kulinganisha rangi za nguo au la mana magauni hayafanani. kuna vitu vya kulinganisha hapo Kaburah ni umeweka tambi na mboga yamajani

Anonymous said...

kweli watu wanavichwa vigumu sasa huelewi nini na kesha kwambia khati color,au ujui rangi omg sio kazi yetu kukufunza rangi ,KUSOMA UJUI ATAPICHA NAYO UELEWI DU WEWE NOUMA

mumie said...

huyo anaeona matembele tuwekee picha yako ,mana kichawni mpaka miguuni hueleweki,emufunga makuli lako

Anonymous said...

haha ila msimshambulie mwenzenu si mtazamo wake,anaona hajapendeza

Anonymous said...

swala la mtazamo halipigwi ni kweli ila sio kashfa ,bibie tunaomba picha yako tuone utumbo na samaki zako unazo vaa.

pam algeria said...

swala la mtazamo halipigwi ni kweli ila sio kashfa ,bibie tunaomba picha yako tuone utumbo na samaki zako unazo vaa.





haahahh eti utumbo na samaki huo uvundo si atari mana havipikiki haviliki umenichekesha mno

Anonymous said...

we mwendawazimu kweli ushasema utumbo na samaki picha yangu ya nini???????? wengine tunajijua ndo mana hatuna shobo kazi kwenu msojijua ndo km ivi asha ngedere umuweke na beyonce iwe rangi,gauni ,kiatu,nywele hawezi pumua.
Siwezi kueleweshwa humu kila m2 anajua wabongo sie ngeli utata na pale kaandika kingereza ndomana nimeuliza we vp????pia nimezoea wengi wanalinganisha nguo ila humu Jalux wameweka ki2 kipya yani rangi ndomana ikawa tatizo kwangu.
Usilipuke tu km sera za chadema

Anonymous said...

hahah bwana hakuan mtu wakusoma gazeti lako hapa huo WiVu bibie kama donda ndugu huna pakulitibia NANCY KAPENDEZA UTAKI WEKA UTOMBO WAKO NA SAMAKI TUONE?inshort fierce
na kama umezoea mfanano wa nguo sio rangi ndio uwekwe,nenda blog nyngine hizi ndio tunapenda sie wanajalux style zetu UKATI ZIPOTEZEE.

Anonymous said...

Asa unalia nini???? haya maandishi tu hata kwenye kanga yapo ukizingatia hatuonani we eti unalia kisa Kabura kapondwa ni mtazamo tu, we chadema nini?????? okey pengine jirani yako endelea kulia pengine atakutoa ukipigika

Anonymous said...

DONDA NDUGU HILO UNALO HALIKWEPEKI KAMA KIFO

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...