
Irene kiwia ni mwanzilishi wa Tanzania Woman of Archvement Awards ndio aliekuwa anagawa tunzo hizo,washiriki walikuwa ni wataaluma mbalimbali wapo madesigner,watangazaji wa radio na Tv,wafanya kazi wa makampuni mbalimbali ya afya,science,sanaa na mengineo.

Tunzo zao zilifanana hivyo


Khadija Mwanamboka nae alishinda tunzo ya social welfare

unafanya kazi nzuri .

Shamimu nae alikuwepo nimelipenda gauni lake rangi nzuri ya blue.
2 comments:
walipendeza wte mungu awajalie kama hamjapata mwakani mtapata
dina kiukweli angepewa yani sema wamembania wanaleta za kujuana mno ,dina kipindi chake ni kizuri na anafanya kazi kubwa mno kwa jamii ya tanzania.ila jipe moyo mama utaipata next time na kama vp wawe wanatuwekea tupige kura wananchi sie wenywewe
Post a Comment