Dec 7, 2010

WAJUE MADESIGNER WA NGUO WA TANZANIA NA KAZI ZAO....

Tanzania imeshakuwa na kutanuka kwenye swala zima la  fasheni. tumeshakuwa na idadi ya kuridhisha katika fashion disgners.wengi wao wameshajulikana ndani na nje ya Africa.hatakufanya kazi zao na show
mbalimbali.wabuni wa mavazi wa Tanzania walishafanya show mbalimbali nchin Tanzania ,ili kila mmoja aweze kuitangaza kazi yake.week hii yote nitakuwa nawaelezea kila mmoja wadhifa wake na kazi yake katika swala la ubunifu. leo tunae mwanamama Asia Idarous khamis, huyu ni mwanamitindo anaebuni
nguo zake nyingi kwa kutumia materials za khanga. ni mwanamitindo mkubwa nchini tanzania. kazi zake pia hufanyia marekani.

Asia Idarous
Alishapata Award za mbunifu bora nchini tanzania mwaka huu.




ASIA AKIWA NA MODEL WAKE WAKIONYESHA UBUNIFU WAKE, KATIKA SHOW
YA USIKU WA KANGA ZA KALE.

SHOW YA MISS RED ALIDESIGN HIVYO.

GAUNI LILIKUWA DESIGN NA ASIA KATIKA SHOW YA MISS RED.
                                              
                                    

                            
                                  HAPA ALIBUNI NGUO ZA MAHARUSI .                 

No comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...