I HAD MY FRORAL PRINTS LAST SUMMER ,IT'S BACK AGAIN IN THIS SPRING 2012 ,AM STILL ROCKING IT FROM MY WARDROPE ,BLOUSE FROM BIK BOK N WHITE SKINNY LEGGING FROM KAPPAHL MY MEN'S SHOES LOAFERS FROM SCORRET ACCESSORIES H&M N ÅHLENS MAKE UP MARY KEY XOXO
18 comments:
mamaloshi
said...
nimpende nani?sasahiii umefanana na doro kwishakazi .balaaaa.pendeza my pacha .
wewe dada ukija dar niletee hiyo nguo na umeondoka hujaniaga jamani,mie nakusubiria cjui mwisho wa mwaka tena au laaa,nimefurahi kuona blog yako ntakuwa naingiamara kwa mara mpnz.joyce mwenye jiko la kitimoto coco beach.
ha ha ha ha ha ni kweli shoga ukiwa huna unakuwa na fujo haifai ila ndo ivo kiubishiubishi kupitwa hatutaki basi weeeeeee ingekuwa ngozi basi ungepaka mkorogo, mwili utapungua au kuongezeka mguu nao?????? kudadadeki acha tu pawe hapatoshi mana km ndo unakigimbi hata ufanye dieat hakitoki
lol asante joyce samahani mwaya nilibanwa mno ila asante kwa uduma nzuri ya kiti moto nimerudi nimenona huyo poa nitakuletea mwezi wa sita nipe no yako tuongee zaidi
18 comments:
nimpende nani?sasahiii umefanana na doro kwishakazi .balaaaa.pendeza my pacha .
jamani juliumependeza hongera unene wte umeisha .au?ndo kazi pole ila umependeza wasalimie ndugu zako .
wewe dada mrembo sana,umependeza mnoooo.
umetoka kisanvu mke ya murundi kama kawaida yako. saafi
umenoga sasa mama brandon.
Asante warda yap ule unenemwili wa utoto ,ulaya unene si deal kupata nguo nitabusana ya big size
asante muke ya baba mbila mbila
ASante willie uzuri huu ndio unaomvutia murundi bana
hahhaha ngaiza hapana chezea muke ya murundi ni hotter than fire si unamwenyewe mashallah
sexy mama me luv that makeup see u soon kram
yani nimekuzooom sasa nimekuon jicho na uzuri wa asili mbona natamani namie niwe mjaluo wajamennnn
PIGA UA GALAGAZA TUPA COCO BEACH ILIWE NA MAMBA, IPANDE ISHUKE MAMA MGUU UMEPEWA NA SIJUI KWANINI UNAUCHUKULIA POA MANA HUUONYESHAGI MARA KWA MARA
hahah asante my dear,si unajua kibaya chajiuza kizuri cha jitembeza mie naiona kawaida mana ninayo tatizo ukiwa huna fujo zake sasa
wewe dada ukija dar niletee hiyo nguo na umeondoka hujaniaga jamani,mie nakusubiria cjui mwisho wa mwaka tena au laaa,nimefurahi kuona blog yako ntakuwa naingiamara kwa mara mpnz.joyce mwenye jiko la kitimoto coco beach.
ha ha ha ha ha ni kweli shoga ukiwa huna unakuwa na fujo haifai ila ndo ivo kiubishiubishi kupitwa hatutaki basi weeeeeee ingekuwa ngozi basi ungepaka mkorogo, mwili utapungua au kuongezeka mguu nao?????? kudadadeki acha tu pawe hapatoshi mana km ndo unakigimbi hata ufanye dieat hakitoki
lol asante joyce samahani mwaya nilibanwa mno ila asante kwa uduma nzuri ya kiti moto nimerudi nimenona huyo poa nitakuletea mwezi wa sita nipe no yako tuongee zaidi
nyeupe imenoga sanaaa,hongera kwa kumaintain mwili.
asante.my dear
Post a Comment