Apr 20, 2012

HIVI NDIVYO WASANII WETU WANATAKIWA WAWE.

Napenda wenzetu wanavyochukulia usanii ni kama ajira nyingine
Riri akifanyia mazoea video ya nyimbo yake mpya ''Where have you been'',hadi inapendeza
ila wasanii wetu wa Tanzania sijui atakama wanafanyaga mazoezi.Wa West Africa wametuacha mbali sana wana copy na vitu vinapendeza wasanii wetu wanajifunze mweeh

No comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...