Mar 21, 2012

LOOKING FORWARD TO MY 3RD ANNIVERSARY

I'M A SUCH BLESSED WOMAN TO HAVE,A MAN WITH FULL OF LOVE, CARING,.........
WAT SHOULD I SAY MORE YOUNG TALENT ,CUTE YOU
CAN SEE OUR  CHEMISTY BETWEEN  N I DO LUV THAT
I CANT STOP SMILLING MPAKA JINO LA MWISHO
CIAO

10 comments:

Anonymous said...

mama brandon leo umenifurahisha mno inapendeza mwanamke.unapomsifia mmeo na kuona dhamani yake hongera naona malavi davi life

JALUX'S FASHIONS said...

asante my dear yap makiss kiss kwa wingi

Anonymous said...

Huyo anabusu au kalala??na wewe unacheka au unalia kwa huzuni??? Sio kwa boti la Amorela hapo!! Hongereni kwa annivesary. Ila ungeenda shule sasa maana spelling kidogo zinasumbua!

Anonymous said...

bibi kiss hilo mana linatokea moyoni sio rohoni umelionaeeeh alafu usipokuwa makini moyo utakuchomoka kwa wivu mbona hii picha tu

muke ya noel said...

hongera pacha wangu mungu awabariki tumewamisije lazima tuje tufurahiye pamoja hakunga ile staili hahaha .

JALUX'S FASHIONS said...

karibuuu

Anonymous said...

MAMA CLAIRE SAID.....HONGERA WIFI,UPENDO,AMANI NA UVUMILIVU VITAWALE NDOA YENU DAIMA.

Anonymous said...

jamani eti kalala,mna mambo wa2 humu burudani tupuuu napita tuuuu

WARDA said...

warda .mungu awbariki .hakuna ndoa rahisi ni kuvumilia tu mabaya mazuri .ndo mpango mzima wapenzi kama wazazi wetu walivyovumilia .mana wakrisro tunasema MWANAMKE MPUMBAVU HUARIBU NDOA YAKE MWENYEWE KWA MIKONO YAKE .MIWILI .SONGESHA.

kokusimah said...

Kwa raha zako Muke ya murundi, chekea Mali yako hiyo no utani. Kila lenye kheri mwaya Brandon anataka wanae waone bibi na babu pamoja.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...