Dec 9, 2010

LEO NI SIKU YA UHURU WETU TANZANIA


December 9 ,kila mtanzania husherekea siku ya uhuru wake.ambapo tulipata uhuru mwaka 1961.bila kusahau mashujaa wetu Julius kambarage  nyerere,Alexander Gwebe alietubebea mwenge wa uhuru kwenye kilele cha mlima kilimanjaro.
              
                                   
          JULIUS KAMBARAGE NYERERE,LOVELY MEMORY OF TANZANIA


4 comments:

MREMBO said...

GO GO TANZANIA NO BLOOD AT ALL MPAKA BENDERA YAPENDEZA,

Anonymous said...

julius nyerere mwangaza wa tanzania may God bless u

MPENDA HAKI said...

THANKS GOD MPAKA LEO NCHI YETU IPO SHWARI TUONGOZE MPAKA KIAMA KWA AMANI.

marium said...

asnte mwenyezi mungu kulinda nchi yetu na watu wake pamoja.tunaipenda nchi yetu

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...