Rihanna is now single after separated with her second boy friend Matt Kemp.he was a major league baseball's.binti huyo alimwesms matt kupitia simu kwamba its over, things are not working out, alipokuwa safarini Australia.
Na sasa inasemekana anadates na mwanamuziki wa rapper anaitwa Drake. Baada ya kummeets drake mawazo yakabadilika kwa rihanna akaona bora amdumps matt. Binti huyu anavibweka hata mwezi bado kesha opoa mwingine, angeambiwa alikuwacheats atakataa.
enzi zao mapenzi yanaanza rihanna n matt.
riri n matt walidandana kila coner.
mwanamke deko.
rihanna na drake (new boyfriend to be )
1 comment:
hahhahahhah rihanna kula bata ukikua utaacha
Post a Comment