Sep 23, 2011

LOOK FOR LESS-MUMY B

W-END imeanza wale wa mitoko ,wanyumbani nyote nawatakia w-end njema naplan kwenda sum where je wewe? tukutane jpili kwa matukio zaidi.

14 comments:

  1. TUNAYATAKAJE?????????MH SUBIRA YAVUTA KHERI USITOKOTE TU

    ReplyDelete
  2. Mmh haya asante na wew pia.kwa swagg tu u cant let me down mam brandon bila kusahau daisy y marc jacob kama nakuona kama niyakuwa bio vile na bakuli lang l pop corn pembe nakuona ulivyo lipuka

    ReplyDelete
  3. Walah mwanamke unayaweza yote hiyo kurusha roho au.na wew ndio ushakuwa dada ya mujini

    From mdaku

    ReplyDelete
  4. Pendeza wewe tabasu swadat ila kimo kimino kweli kiduchuuu

    ReplyDelete
  5. Kwa raha zako jalux ujana maji yamoto utumie mwaya sio wengine outing mpaka ajemsanii toka bongo

    Pendo

    ReplyDelete
  6. pendeza kama kawa mami


    simah

    ReplyDelete
  7. yani uyo hapo anasema mpaka msanii kutoka wakati watu wakula pombe kila siku nyie mpaka ruhusa ya mume sangapi akikataa je mnabanana kama kumbikumbi kila sehemu xoxoxo unaogopa kuachwa tutacheka na tutacheka kweli tunasubiri kwa hamu huby fuck u

    ReplyDelete
  8. tettet kwa waganga mtakesha na dua mtaomba hakuna kuachwa hapa alichokiunganisha mungu binadamu hawezi kukitenga, mlidhani mtamshika masikio na kunena majungu na kumpigia simu usiku wa manane akawaonaa washamba sasa mnahaha tettet out mpka aje msanii huyoooooo kaogee tena na ommo

    ReplyDelete
  9. lol kumbe watu wanawivu na ndoa yako makubwa nilikuwa sijui mie ,mshindwe na mlegee atawakiwa kumbikumbi siwao na ndio hubby wake tena mbona ujibebe bibie ,mwanamke sharti atoke na mme sasa wewe nung`aembe unaekwenda bar peke yako unatafuta nini kama si pombe za bure na wakina chawote

    ReplyDelete
  10. mwanamke haachwi bibi akiachwa ujue huyo si mzima pole yenu mtangoja mpaka yesu arudihapa kafika kigoma mwisho wa reli kazi kwenu

    ReplyDelete
  11. Huna jipya kundu wewe ushaachwa mbnaq tunajua..Unajibembeleza unaachwa kila siku sura limekushuka haloooooooooo

    ReplyDelete
  12. Mmmh kweli wivu sumu matusi yote hayo yanin bibie ujipasue moyo na presha wakati wenzako wanapika na kupakua kwa raha zao jitahidi nawewe utapata wa kukuenzi acha wivu

    ReplyDelete
  13. this shows how what kind of brain u women have! full of crap!

    ReplyDelete
  14. Nikweli wanawake hawapendani du angekuwa mbaya wala msinge angaika nae sema she got sum tin she deserved na ndio mnamchukua go mama run the world by ur own idear

    ReplyDelete

FREEDOM OF SPEECH